Tuesday, June 4, 2013

Maafisa wa Polisi kikosi cha usalama Barabarani wapewa somo juu ya matumizi ya kifaa cha kipimia ulevi madereva

Kamanda wa Kikosi cha Usalama
Barabarani – DCP. Mohammed R. Mpinga (kulia) na Mkurungezi wa Operesheni Upturn Group Co - Mr. Muhata Denis (kushoto) wakijadiliana jambo kuhusu kifaa cha kupimia ulevi (alcohol test) wakati wa semina ya Siku mbili ya
kipima ulevi (alcohol test) yaliyohusisha maafisa na askari wawakilishi wa Kikosi cha Usalama
Barabarani kutoka baadhi ya mikoa Tanzania bara. Semina hiyo ilifanyika katika Chuo cha Polisi Dar es salaam- Kilwa road tarehe 29/05/2013 – 30/05/2013.
Bofya kwa habari zaidi

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments