Wednesday, July 25, 2012

DAKU FREESH....MATARANGE RESTAURANT

Mdau wa Zee Town Lazaro Matarange akiwa katika pozi
Baga, Sambusa, Badia, Kachori, Maandazi, Ndizi, Chipsi na kuku saaaafi
Mdau wa Zee town Lazaro Matarange akiwa ofisini kwake
Mishkaki bomba ya nyama 

Hii ndio sehemu wanayojivunia wakazi wa Chukwani kwa kujipatia daku mida ya usiku MATARANGE RESTAURANT ipo karibu na High View School.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments