Tuesday, July 31, 2012

USAFIRI WA ASILI YA UNGUJA NA PEMBA

Katika hali ya ubunifu huu ndio usafiri unaopendwa na wazawa wa Zanzibar na kuwa ni kivutio kwa wageni husuana watalii, ni gari la kawaida ila linabadilishwa muundo wa bodi lake orijino na kuweka bodi la asili kwa kutumia mbao na mabati kwa ajili ya kufunikia juu.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments