Tuesday, July 23, 2013

Afariki dunia papo hapo kwa kugongwa na daladala jijini Dar.

Mkazi wa Dar es Salaam ambaye jina lake
halikuweza kupatikana mara moja leo
amefikwa na umauti baada ya kugongwa
na gari aina ya Nissan ambalo linafanya
shughuli za kubeba abiria kati ya Gongo la
Mboto na Kariakoo jijini Dar es Salaam
namba za usajili T 288 AZB na namba ya
njia ni S 264D.
Kwa mujibu wa mashuhuda wameiambia
Father Kidevu Blog kuwa, marehemu
aligongwa na gari wakati akijaribu kuvuka
barabara ya Nyerere eneo la Mtava karibu
na Quality Centre leo asubuhi.
Endelea hapa

Published with Blogger-droid v2.0.10

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments