Thursday, July 25, 2013

Swahili Tv mtaani

Na Alex Kassuwi
Kwa wanakijiji wenzangu, miaka 30
iliyopita nisingeliweza kuamini ninayo
yaona na kuishi hivi sasa. Kwa kifupi
tuliona wakija kijijini kama mapadri,
wataalamu wa mashirika toka nje ama
walimu.
Nilijenga imani kila mzungu ni msomi
na tajiri. Nilipohamia ughaibuni
nimekuta ni tofauti sana, wapo wazungu
wengi mbumbumbu na wanabangaiza tu.
Ushauri kwa dada zangu wanaowinda
kuolewa na wazungu "kila king'aacho
sio dhahabu"

Published with Blogger-droid v2.0.10

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments