Tuesday, July 30, 2013

Maini ya kuku yastaajabisha watu.


Kuku mmoja aliyechinjwa na bwana Boha jioni ya leo amekutwa na Maini makubwa yanayokadiriwa kuwa na uzito wa zaidi ya robo kilo hali ambayo sio ya kawaida kwa kuku kuwa na ukubwa wa Maini kiasi hicho.
Mr Boha anaeishi Nguvumali kagera mjini Tanga alishangazwa sana na ukubwa wa Maini hayo hali iliyopelekea kuwa na hofu kubwa juu ya nyama ya kuku huyo.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments