Thursday, July 4, 2013

Nidhamu mbovu za madereva wanaoharibikiwa barabarani

Wakati vyombo vya usalama vikipigia kelele swala la utunzaji wa Barabara zetu kuna baadhi ya madereva wenye nidhamu mbovu wanafanya mambo kama haya.
Ni utaratibu mzuri kuweka alama/ ishara ya kuashiria kuna tatizo ili madereva wengine wapate kupunguza mwendo lakini ustaarabu kwa wale wanaotumia matawi ya miti ni vema kuyaondoa baada ya tatizo kumalizika.

Published with Blogger-droid v2.0.10

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments