Thursday, July 25, 2013

Finca wajibebea chao baada ya mkopaji wao kushindwa kulipa deni

Taasisi inayojihusisha na mikopo kwa wajasiliamali FINCA leo wameibuka dukani kwa Mr Mmasi Barabara ya 13 na kubeba kila kitu kilichokuwepo dukani hapo baada mteja wao huyo kushindwa kulipa deni. Bwana Mmasi ambae anafanya biashara ya nguo dukani hapo amefikwa na hali hiyo kutokana na hali ya kushindwa kutimiza masharti ya mkopo wake. Finca Imefikia hatua ya kuchukua bidhaa hizo zilizokuwepo dukani hapo ikiwemo nguo pamoja na meza baada ya kumpatia muda wa kutosha bwana Mmasi katika kulikamilisha deni hilo

Published with Blogger-droid v2.0.10

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments