Sunday, July 28, 2013

Ssen Lubi na Sir Tino ft Vumilia - Penzi la super star the brand new track


Muungano wa wasanii wakali wa muziki wa
kizazi kipya bongo fleva Ssen Lubi na Sir Tino
wameachia single ya mpya walioipa jina la Penzi la super star.
Single hiyo ambayo imekuwa gumzo mitaani baada ya kusikika katika vituo mbalimbali vya redio wamemshirikisha mwanadada Vumila.
Wimbo huo umetengenezwa studio za Seductive chini ya producer MT. T Touch umekubalika sana na mashabiki kutokana na jinsi ya upangiliaji mzuri na maudhui ya wimbo huo.
Ssen na Sir Tino wanaomba sapoti kutoka kwa mashabiki zaidi pamoja na wadau wa muziki ili kuendelea kukuza muziki wa Tanzania.
Kwa mawasiliano unaweza kuwasiliana nao SSEN ni 0719 208 090 na Sir Tino : 0713 621 454.
posted from Bloggeroid

My Blog Name
My Blog Name

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments