Monday, July 29, 2013

Jumuia ya kuhifadhi Qur'an Tukufu Tanzania na Tanzania Muslim Hajj Trust inawakaribisha waislam wote katika mashindano ya kuhifadhi Qur'an tukufu ya kimataifa


FAINALI KWA WASICHANA
Jumamosi , Tarehe 03 Agosti 2013,
Saa 3:00 ASUBUHI
Ukumbi: Star Light Hotel Hall
(Waalikwa Wanawake tu).
FAINALI KWA WANAUME
Jumapili , Tarehe 04 Agosti 2013,
Saa 3:00 ASUBUHI
Ukumbi:Diamond Jubilee Hall
(Waalikwa Wanaume na Wanawake).
Changia kuendeleza kuhifadhisha
QUR’AN Tukufu Tanzania kupitia
Mtandao wetu www.quran.or.tz
Tunawashukuru na kuwatakia Funga
Njema yenye Baraka na kukubaliwa Dua
zetu ambazo tunazo ziomba , Amiin .
Karibuni Sana Tutafurahi sana kama
Wadau wa Blog ya Jamii mkiongozwa na
kaka Michuzi na Timu yako kuhudhuria
kwenu .
Kwa Niaba ya Kamati ya Maandalizi.
Ghalib Nassor Monero l Azhary

1 comment:

Toa maoni yako/ Leave your comments