Sunday, July 28, 2013

Dogo janja aachia track mpya


Mkono mkali toka studio za Noizmekah Arachuga,Janjaro anarudi round nyingine kwa style ya tofauti sana inayoitwa "serebuka".
Katika tasnia hii ya muziki utapomtaja msanii Dogo janja moja kwa moja utapata hisia ya ladha tofauti kutoka na ubunifu wa msanii huyo ambae ni ndogo sana kiumri,
Wimbo huo wa serebuka ambao ni special kwa fans wote wa Dogo janja "JANJARO" amesha utambulisha kupitia baadhi ya vituo vya redio na inaaminika ni moja ya wimbo utaotambulisha ujio mpya wa Janjaro.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments