Saturday, July 20, 2013

Brand new track Muddy Kilosa "Kosa Langu"

Baada ya kuhamishia shughuli zake za muziki rasmi jijini Dar es salaam kutokea mjini Morogoro Muddy Kilosa ameachia track mpya inayoitwa Kosa Langu.

Msanii huyo ambaye anasimamiwa na meneja wake Mr. Lugano ameachia ngoma hiyo ambayo amerekodi studio za Suductive chini ya producer Mr T Touch na tayari imeanza kuchezwa vituo mbalimbali vya redio.

Ngoma hiyo Imekuwa gumzo kubwa kwa watu kutokana na ustadi wake wa uimbaji na mpangilio mzuri wa mashairi hali iliyompelekea kuzidi kupata mashabiki wengi zaidi na kikubalika katika game la muziki wa Tanzania.

Endapo unahitaji kufanya nae kazi au mahojiano wasiliana nae moja kwa moja kupitia namba yake ya simu ya mkononi 0714 315680.

Endelea kutoa sapoti kwa muziki wa Tanzania.

Published with Blogger-droid v2.0.10

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments