Friday, August 16, 2013

Big Daddy Don "Ma Life"


Rapper kutoka kundi la WestPasu anajulikana kama BigDaddy Don aka Malai Junior anaewakilisha vema mkoa wa Moshi ameachia brand new hit inayoitwa "Ma Life"

Ngoma amerekodia Arusha, katika studio za Noizmekah chini ya Producer Defxtro,
Ngoma hii ni Hiphop yenye kionjo kidogo cha kuimba kutoka kwa mchizi mkali wa kusimamia chorus, Chozi.

Pata kuwa wa kwanza kudownload na kusikiliza HAPA

Kwa mawasiliano na mahojiano zaidi na Big Daddy Don check naye kwa Simu nambari +255 763 302 950 www.vmgafrica.com

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments