Tuesday, August 20, 2013

Taarifa ya ajali katika msafara wa mbio za mwenge wa uhuru mkoani Dodoma


Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa
Dodoma Bi. Suzzan Kaganda Akiongea
na waandishi wa Habari hawapo
pichani, Katika ukumbi wa Mikutano wa
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma Kuhusia
na ajali iliyotokea katika kijiji cha Fufu,
Kata ya Fufu, Wilaya ya Chamwino,
ambapo takribani magari matano (5)
yaliyokuwa kwenye msafara wa Mwenge
wa Uhuru, yakitokea Wilaya ya Dodoma
kuelekea kwenye makabidhiano Wilaya
ya Mpwapwa, ambapo Watu wapatao
tisa (9) walijeruhiwa katika ajali hiyo...endelea hapa

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments