Sunday, August 25, 2013

Cheki mapokezi ya Diamond yalivyopokelewa mjini mpanda


Hakika kwa lililotokea mkoani mpanda basi si
la kusahau kila rahisi,kwa historia kufutika
kichwani mwangu
na milele moyoni Mwangu.
Siku ya Jana wakati nimetokea jijini Tabora
kwenye Fiesta 2013
baada ya kibarua ,hapa tena nakuja
Mpanda nikiwa na crew yangu nzima.
Majira ya saa 7 tulikuwa tumewasili uwanja
wa ndege
wa Binafsi Mkoani humu lakini baada
ya Kuwasili na kutokeza tu nje,ghafla hali
ya hewa
ilibadilika kuwa ya Furaha na watu
kujazana
kwenye uzio wa uwanja wa ndege mdogo endelea hapa

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments