Monday, August 19, 2013

Wavuvi Ujerumani wavua Samaki mwenye mkubwa mwenye uzito wa kg 233.5 wavunja record ya dunia


Wavuvi wa nchini Ujerumani wamevunja rekodi baada ya kumvua samaki mkubwa na kuweka rekodi ya dunia katika
samaki wakubwa walio wahi kuvuliwa.

Samaki huyo mwenye uzito wa kilo 233.5 na urefu wa mita 2.63 ameiweka Ujerumani katika rekodi hiyo ya dunia wakati Samaki wengine waliowahi kuvuliwa na kuweka rekodi dunia walikuwa na uzito wa kilo 108, kilo 190, kilo 211 na wengineo .

Wavuvi hao wanasema ilichukua zaidi ya saa 1 katika harakati za kumvua samaki huyo. Kiongozi
wao anasema walidhani ndoano yao imenasa kwenye manowari kutokana na ugumu na uzito uliokuwepo wakati wa kuivuta

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments