Friday, August 9, 2013

Juma Kaseja kushuhudia fainali Meya Cup Mwanza


Juma Kaseja.
Na Mashaka Baltazar, Mwanza
BALOZI wa Pepsi, Juma Kaseja ni miongoni
mwa wa wadau wa soka walioalikwa
kushuhudia fainali ya kuwania kombe la
Meya wa Jiji la Mwanza ( Meyor’ s Pepsi
Cup ) , Stanslaus Mabula.
Mlinda mlango huyo namba moja wa timu
ya taifa ( Taifa Stars ) ataungana na Naibu
Waziri wa Habari, Vijana , Utamaduni na
Michezo, Amos Makala Katibu Mkuu wa
TFF na Angetile Osiah.
Wengine ni Memeya wa Majiji na Miji ya
Dar es Salaam Jerry Slaa, Gaudensi Lyimo
wa Arusha , Kapinga wa Mbeya , Omari
Nondo wa Morogoro , Moshi na Bukoba.
Fainali hiyo itafanyika Agosti 10 mwaka huu ambapo bingwa atajinyakulia....endelea hapa

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments