Friday, August 23, 2013

Semina ya fursa ilivyokuwa mkoani Tabora



Mghani mahiri wa mashairi hapa nchini
Mrisho Mpoto akizungumza kwa
msisitizo,masuala ya fursa mbalimbali
zinazopatikana katika suala zima la
ujasiliamali mapema leo kwenye semina
ya Fursa iliyofanyika katika ukumbi wa
Student's Center,uliopo katikati ya mji
wa mkoa wa Tabora mapema leo.Semina
hiyo iliyoandaliwa na Clouds Media
Group,imefadhiriwa na shirika la
NSSF;Zantel,MaxMalipo,Lake Oil.bofya michuzi http://issamichuzi.[blogspot.com/2013/08/semina-ya-fursa-kwa-vijana.html?m=1]

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments