Friday, August 2, 2013

Wakazi wa Tanga shoping za usiku km kawa




Wakati mwezi wa mtukufu wa Ramadhani unaendea ukingoni na watu wakiwa katika maandalizi ya kuikaribisha sikukuu ya Idd maduka sasa yafungwa saa 4 usiku.
Kwenye picha hapo juu ni Barabara ya 13 maarufu kwa maduka ya nguo harakati za shoping zikiendelea majira ya usiku.
My Blog Name

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments