Saturday, August 24, 2013

Mazishi ya Nasra Hamis Rajabu yalivyokuwa







Umati wa watu walijitokeza jana katika maziko ya mjomba wa Dj Dk B yaliyofanyika kwenye makaburi ya Kwaminchi mjini Tanga.
Nasra Hamis alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kifua pamoja na malaria alilazazwa hospitali ya bombo kwa muda wa wiki moja hadi umauti ulipo mfika.
Mungu amlaze mahala pema peponi amina.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments