Friday, August 16, 2013

Jaa kubwa katika ya mtaa maeneo ya chumbageni Tanga.



Tanga ni Jiji linalosifika kwa kuwa na mazingira safi yanayopendeza kila kona ya mtaa lakini eneo hili lililopo mtaa wa chumbageni ambalo limezunguukwa na makazi ya watu limekuwa maarufu kwa kutupwa takataka ovyo hali inayopelekea kuwa ndio dampo la mtaa.

Pamoja na jitihada kubwa zinazofanywa na city kuziondoa taka hizo kila zinapokuwa zimezidi inaonekana kuhatarisha maisha ya wakazi wa eneo hilo kwa magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na uchovu wa mazingira hususana kwa watoto wadogo ambao mara kwa mara wanaonekana kupita katika taka hizo na kuokoteza vitu mbalimbali vya kichezea.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments